|
Bismillahi twaanza
Tupate kuyatimiza
Twa usiya nyoyo zetu
Na Isilamu wenzetu
Mwana Adamu sikiya
Inaghururi duniya
Shikamana na 'Ibada
Utaepukwa na shidda
Na swala usiiyate
Kwa nguzo na sunna zote
Mwenye kuwata kuswali
Kwa Hadithi ya Rasuli
Na kujifunza ilimu
Mume na mke fahamu
Ufunge na Ramadani
Siteze teze na Dini
Kongoni mgeni wetu
Mwezi wa toba jamani
Twakuomba Mawlana
Ahali na wetu wana
|
Jinna la Mola Muweza
Haya tulo qusudiya
Na walo swahiba zetu
Akubaliye waswiya
Yataka kuzingatiya
Tahadhari na kwambiya
Uifanye ndio 'ada
Na kheri kukujilia
Kipindi kisikupite
Na sharuti kuzitiya
Huwa kafiri wa kweli
Sikiya tena sikiya
Ni wajibu Islamu
Ujinnga una udhia
Kama ilivyo vyuoni
Kwani uta angamia
Mtukufu Ramadani
Na baraka na neema
Rabbi tujibu du'ana
Twende ziungo zajana
|